STORY: THE WORLD IZ NOT FAIR MTUNZI: CHICOLOVE JR NAMBA: 0658,0765,270133 SEHEMU: 9

WEKA TANGAZO


Tukajikuta tumeangukia kitandani uku Aurelia akiwa juu ya kifua changu akatoa tabasamu la nguvu nakunifanya nami nitabasamu pia tukajikuta tukiwa tunapeana mahaba mazito!
" Mmmh Mwaah Hance sijui niseme nini kwako mpenzi?
"Mtoto nikiwa na mpa romance mithili ya mtu anayenyonya pipi kijiti au ice cream!
"Alizidi changanyikiwa kwa jinsi nimemshika kimahaba nakumfanya kutokwa na machozi ya furaha!
"Aurelia why are you cry niko hapa nawe mpenzi upaswi kulia nakupenda!

"Hance niache nilie hakika maneno yako na penzi lako linanifanya niwe katika hali hii! Hance nikuulize swali?
"Usijali mpenzi wangu niulize tu niko tayari kukujibu uku nikiwa na mchezea pua yake nakidole changu taratibu kama mtoto anayejifunza kuandika"

"Mmmmh! mbona unaema kwa nguvu beibe nini tatizo unaogopa kuniambia!
"Hapana Hance nakutazama nashindwa hata nianzaje'!
Kusema kwako siamini kama uko tayari kukubali ombi langu!
"Aurelia plz mimi nimpenzi wako sema nakusikiliza mamy!
"Hance nakupenda sana!nahitaji uwe katika sehemu ya maisha yangu namaanisha kwamba nahitaji uwe mme wangu!
"Nikashtuka nakujikuta machozi yananitoka nikainuka pale kifuani mwa Aurelia!
"Uku nikiwa nimemshika mikono yake miwili!
Aurelia nakuahidi mpenzi utakua katika sehemu ya maisha yangu jua likuchapo na lichewapo utakua katika moyo wangu!
"Aurelia wewe ndio pumzi yangu nitawezaje pumua pasipo upendo wangu kwako!
"Asante mme wangu nakuahidi utakua my eternal ndani ya moyo wangu pia!
"Iwe mchana ama usiku utabaki ndani ya moyo wangu!

* * * * Upande wa Junior akamtumia sms Aurelia wewe Malaya kwanzia leo siku taki!
"Sahau kabisa kama ulikua na mtu kama mimi fuck you!
"Asante Junior kwa matusi yako hata nami nilisha kuchoka mwanaume gani usie jua kupendwa wala kupenda!
"Niache na maisha yangu sasa ninafuraha byeeh!
"Junior akujibu tena sms yoyote!

* * * Mamy saivi ni saa saba usiku naomba upumzike mpenzi wangu nakupenda!
"No Dady nawewe utabaki na nani siunaona bado una dripu mkononi!
"Usijali mamy bado kidogo itamalizike nikaoge nami nije kulala!
"Dady hapana siwezi kulala kabla wewe ujalala siunajua wewe mgonjwa?
"No mamy am oky nikambembeleza taratibu hadi haka lala!
"Nikachomoa ile dripu nikaenda kuoga!
"Kabla sijaenda kuoga nikamsogelea Aurelia na kumbusu"
"Mmmmh mwaaah nakupenda!
"Nikaenda kuoga haraka haraka maana nilikua naogopa!
"Ile navaa nguo nikasikia mlango wa chumba nilichotoka umefunguliwa!
"Haraka haraka nikavaa kuwai kwenda kumcheki Aurelia!
"Kufika tu ivi nashangaa............ITAENDELEAAA! WEKA TANGAZO

0 maoni: