STORY: THE WORLD IZ NOT FAIR MTUNZI: CHICOLOVE JR NAMBA: 0765,0658,270133 SEHEMU: 10

WEKA TANGAZO Darling!... Kimya nikiwa naingia chumbani uku namwita Aurelia nipata mshtuko niliposhangaa kuona mlango uko wazi kutazama kitandani napokulikua hakuna mtu!
"Nikatoka nje taratibu uku nikiwa na hofu nakuanza kumtafuta Aurelia nilitamani nimwite ila nilipata hofu maana palikua nihospital"
"Nikawa nazidi kutoka tu uku naangaza macho kila kona kama nitafanikiwa kumwona Aurelia!!
"Nikakata tamaa nakurudi ndani uku nikiwa najiuliza amenea wapi!

"Mme wangu unawaza nini?
"Bby umetoka wapi? Mbona nimekutafuta uko nje sijakuona!
"Hubby nilienda chooni mpenzi!
"Ok beibe lakini ungesubiri nikusindikize uogopi usiku wote huu?
"Yaah naogopa mme wangu nilikua nimebanwa sana na mkojoni!
"Nikamtazama machöni nakumwambia Aurelia nakupenda!
"Nakupenda pia Hance akanishika mkono uku akiwa ananiangalia kimahaba nikajikuta nami namtazama uku nikiwa tayari hisia zangu zimepanda taratibu"
"No Hance usifanye ivyo hapo sio sehemu nzuri yakupeana penzi!
"Ndio beibe nafahamu lakini naumia sana mpenzi!
"Mwili wangu umepata shoti nikiwa na mpapasa taratibu uku nae akiwa anajitaidi kunitoa mikono nisizidi kumweka katika wakati mgumu!
"Hance najua unahitaji penzi langu hata nami nahitaji penzi lako darling naomba acha unachofanya pumzika hapa sio sehemu nzuri ya kupeana mapenzi!

* * * * Baada tu ya kupambazuka Mama akamwamsha baba! Baba Hance ebu amka ukamtafute mtoto ajarudi jana!
"Baba amka nakuanza safari ya kunitafuta pasipo kujua niko wapi!
"Alizunguka kila kona pasipo kujua niko wapi !
"Kila mtu aliyekutana nae anayenifahamu alimuuliza kama ameniona jana lakini akuna aliyeniona"
"Moses ujambo kijana wangu?
"Sijambo shikamoo mzee!
"Sasa uyu rafiki yako Hance ujamwona jana?
"Hapana mzee sijamwona tangu juzi kwani kuna tatizo?
"Hapana ajarudi nyumbani jana sasa tunahofu amepata tatizo gani?
"Je jana kulikua hakuna hiyo mipira yenu ya uko ulaya unayopenda kuangalia?
"Hapana mzee ngoja nijaribu kumtafuta uko kwa marafiki zake wengine nikimwöna nitakuja nae nyumbani wewe rudi tu kapumzike nyumbani"
"Sawa kijana wangu usipofanikiwa uwai tuje tukatoe taarifa polisi!
"Moses akaanza nae kunitafuta!

* * * Hey Fundi yule dogo leo ajafika?
"Hapana bado ajafika nadhani atakuja tu!
"Aje kwenye kazi gani ya saa tatu!
"Fundi akamjibu Mustapha labda anakaa mbali!
"Yule bwana mdogo jana kanikera sana anaropoka tu mbele za mama!
"Ha ha ha ila nawe boss ulipanic mpaka ukampiga kofi!
"Ili awe na adabu mbele za wakubwa zake mpaka saivi yule binti apokei simu yangu wala ajibu sms zangu!
"Yote hayo kasabibisha yule dogo!

* * * Hance amka mpenzi unaendeleaje?
"Salama bby nawe umemkaje?
"Niko salama mbona jana uliniacha pekee yangu naongea tu kumbe umeshalala!
"Samahani bby nitakua nilipitiwa na usingizi mbona kama.................ITAENDELEAAAA!! WEKA TANGAZO

0 maoni: