STORY: THE WORLD IZ NOT FAIR MTUNZI: CHICOLOVE JR NAMBA: 0658,0765,270133 SEHEMU: 8

WEKA TANGAZO
Aurelia moyo wangu umeshindwa vumilia kwako!
"Nilishaweka nadhi mbele za Mungu kamwe sitakaa nipende msichana yeyote hapa duniani!
"Ila kwanzia leo Mungu anisamehe na anisafishe moyo wangu kwako nitazame macho yangu yanatoa machozi kwa ajili yako!
"Moyo wangu, nafsi yangu, roho yangu vyote kwa pamoja vinakuhitaji uwe katika maisha yangu nakuomba uwe furaha ya moyo wangu"
"Nikapayuka kwangu Aurelia nakupenda! Nakupenda manesi na madaktari wakaja mbio mbio wakijua kuna mgonjwa mwenye tatizo!
"Nakunikuta nikiwa nimemkumbatia Aurelia uku machozi yakiwa yanatutoka wote kwa pamoja!
"Calm down Hance nimekuelewa ona madaktari wametuzunguka uoni aibu!
"Hey kuna tatizo gani hapa mbona sielewi mgonjwa amepata tatizo gani?
"Hakuna tatizo Dr ni hali fulani tu imempata yuko sawa!
"Niliendelea kumkumbatia Aurelia uku machozi yakinitoka kwa furaha!
"Hance nakupenda pia tukawa tunatazamana machoni uku kila mmoja akiwa anamtazama mwenzake kwa hisia za tofauti"

* * * Upande wa pili nyumbani mama alikosa furaha akujua niko wapi na wala akua na habari zozote kama nimepata tatizo!
"Baba Hance ujapata habari zozote mtoto leo ameenda kufanya kibarua wapi?
"Sijapata yule mtoto wa kiume bana upaswi kua na uoga kiasi icho atarudi tu labda amepitia uko kwenye mipira yao anayopenda kwenda kuangalia!
"Usiseme ivyo mimi sina raha mtoto wangu hadi saivi sijamwona na sio kawaida yake angekuja nyumbani kwanza ndio aende uko kwenye mpira!
"Sasa unataka nikamtafute usiku huu nitampatia wapi na saivi ni saa 5 usiku tuombe Mungu amlinde uko aliko na arudi salama nyumbani!
"Moyo wangu hauna amani kabisa sijui mwanangu uko alipo yuko katika hali gani nimeshindwa hadi kula kwa ajili yake!
"Mke wangu amini ninacho kwambia kama hatorudi leo mapema asubuh nitaenda kumtafuta tuliza presha ukiwa na hofu ndio utazidi kuumia moyo wako!
"Haya na lala lakini ujue sina furaha moyoni mtoto mwenye ndio uyo uyo mmoja kama dawa wewe unafikiri furaha nitapata wapi?

* ** Hance hakika moyo wangu unafarijika sana unaonekana ni mwanaume unajua kupenda, kujali, na kueshimu!
"Ni furaha yangu kua katika mikono salama kwako bali nataka nikwambie jambo moja kua makini na moyo wangu Hance!
"Tukiwa tumeshikana mikono taratibu nikamsogelea midomo yetu ikawa imekaribiana uku kila mmoja akivuta hewa inayotoka kwa mwenzake nikamshika uso na kumpapasa kwa vidole vitano vya mkono kwanzia juu ya paji la uso wake na kumwambia wewe ndio furaha yangu Aurelia"
"Mmmmmh Hance I Love you nakuhitaji katika moyo wangu akanisogelea na kunibusu mdomoni mwangu"
"Nikamshika shingo yake kwa mikono yangu miwili uku tukiwa tunatazamana nakujiku tumeangukia kitandani puuh nakuanza kupeana..............ITAENDELEAAAA!!! WEKA TANGAZO

0 maoni: