STORY: THE WORLD IZ NOT FAIR MTUNZI: CHICOLOVE JR NAMBA: 0765,0658,270133 SEHEMU: I9

WEKA TANGAZO

Karibu Hance hapa ndio nyumbani!
"Asante Beatrice nimekaribia uku nikiwa na shangaa magari ya kifahari yaliyokua yamepaki hapo nje"
"Mengine yakiwa yana nambaza za serikali!
"Aurelia akanishika mkono tukielekea kuingia ndani"
"Walinzi wakiwa wamevaa nguo za police uku wameshika bunduki mlinzi mmoja akatusindikiza hadi mlangoni"
"Asante Auncle huyu ni rafi yangu anaitwa Hance!
"Haya dada dada hakuna tatizo"
"Baada ya Aurelia kumtambulisha mlinzi nikaingia ndani!
"Daah macho yakazidi nitoka tu jinsi palivyo pazuri nikajikuta na tazama tazama kila pande palikua na camera"
"Hance wlc feel at home don be afraid ok!
"Atasikuelewa vizuri nikajibu tu ok!
"Kaka habari yako!
"Salama dada ! Karibu kaka nikupe kinywaji gani?
"Kwa wenge nililokua nalo nikaropoka chochote tu dada"
"Akaja na bia ya kopo ya bavaria"
"Hey am sory dada ungenipatia juice tu situmii pombe"
"Aurelia akaja uku amebadili nguo amependeza sana hey dada mbona ujampa mgeni kinywaji?
"Ndio nimbadilishia atumii pombe!
"Sasa wewe kwanini ukumuuliza anatumia kinywaji gani?
"Alisema chochote nikampatia bavaria!
"Basi wewe nenda Jikoni kaandae chakula mimi nitamuhudumia"

* * * Rose baada ya kulia akamua kumtumia Mustapha sms"
"Asante sana Mustapha mimi sasa ni mfu aliye hai"
"Nivizuri kama unajua afya yako ni mbovu ukatulia na sio kusambazia wenzako!
"Najua saivi mimi sina tena dhamani hapa dunia nasubiria tu kufa"
"Ila sitafanya upumbavu na roho ya kikatili kama ulivyofanya wewe nitajilinda na kuwalinda binadamu wenzangu nisiwambukize virusi vya Ukimwi"
"Nimeamini dunia haina usawa Mustapha!
"Baada ya Mustapha kupata sms akaisoma na kujibu"
"Ha ha ha ha ha pole sana Rose ukianza kukohoa niatafute nikupe hela ya jeneza na sanda"

* * * Mama Hance ivi uyu mtoto ametoka wapi na watoto wa matajiri?
"Sijui mme wangu wewe ndio kijana wako unatakiwa uzungumze nae!
"Mtoto wa Waziri Mwaisabila kutakua na jambo kati yao!
"Yaweza kua yule mtoto wa kiume bana mwenyewe na wasiwasi atakua na mawasiliano na yule binti"
"Achunge sana sitaki vita na serikali mtoto wa mkubwa yule ayaah!
"Sasa mme wangu kama wamependanaje?
"Uuuh ebu nitengee chakula tuachane na iyo mada"

* * * Hance feel comfotable darling! Naona kama unaogopa ivi!
"Hapana uku nikicheka kumwonesha am okey ila daah nilikua naogopa sana"
"Akachukua Juice na kuweka nusu glass katika glass mbili!
"Karibu darling!
"Asante!
"Mara Aurelia siakaanza kule mapenzi pale sebuleni"
"Akanisogelea na kunilalia uku akiwa anachezea mikono yangu!
"Beibe ngoja nikunyweshe juice unajua unapokua karibu yangu napaswa nikujali hubby!
"Ile ananywesha tu ivi juice nikiwa na hofu nikasikia"
" Kwa sauti ya ukali hey Aurelia What are you doing?
"Tukashtuka nakujikuta tunageuka! Kwa hofu kuangalia ni nani huyo?................ITAENDELEAAAAAA!!!! WEKA TANGAZO

0 maoni: