STORY: THE WORLD IZ NOT FAIR MTUNZI: CHICOLOVE JR NAMBA: 0658,0765,270133 SEHEMU : 18

WEKA TANGAZO

"Mbona umeshtuka ivyo dada!
"Hadi umesimamisha gari Mustapha ni shemeji yangu nini?
Ebu achana nae yule mzushi tu hana lolote akawasha gari tukaendelea na safari"
"Sasa mdogo wangu mbona atutambulishani jamani!
"Naona toka jana uko na Hance ndio shemeji yangu nini?
"Dada looh nawe uko mwingi kama unga wa ngano upike mandazi, chapati, kalmati wala Hance ni best yangu tu"
"Eti Hance kwani ni vibaya wewe kua shemeji yangu?
"Ha ha ha ha sio vibaya mbona inawezekana ila siunaona amekanusha mwenyewe!
"Haya bana tuambizane sio kesho nakukuta na huyu keshokutwa na yule kama mshenzi fulani"
"Ni kweli uko sawa kabisa hii dunia inamambo mengi sana alafu mbona ujanitambulisha unaitwa nani?
"Najua tu ni dada yake Aurelia ila jina ndio sijajua unaitwa nani?
"Mimi naitwa Beatrice Robert Mwaisabila ni dada yake Aurelia Robert Mwaisabila"
Hapo sasa imetulia karibu nami naitwa Hance Bleesing Rungwa ni mzaliwa wa Dodoma!
"Karibu nawe leo mbona ujaenda kazini?
Nikajikuta namtazama Aurelia nakushindwa kumjibu Beatrice"

* * * Mustapha baada ya kuondoka kwa hasira akaamua kumpigia simu Beatrice!
"Trrh! trrh! Mbona uyu nae apokei?
"Akatuma sms hi, mamy uko wapi nimekumic mpenzi njoo basi mjini tuonane!
"Baada ya kuona Beatrice akamua kumpigia Rose simu!
"Hallow! Sasa wewe mwanamke umeiba dola mia tano tu unakimbia ebu nirudishie izo document zangu na risit zilipo uko kwenye Wallet?
"Nimeshazichana chana malaya mkubwa wewe huna hata haya"
"Ha ha ha ha ha unacheka nini wewe malaya tena koma kunipigia simu kila mtu na maisha yake kwanzia leo nipotezee!
"Rose umezisoma izo karatasi au umechana tu kuna nyingine zinapassword za benk ebu soma vizuri?
"Rose kusikia ivyo akafurahi sana ha ha ha ha imekula kwako wewe fataki"
"Pole sana Rose najua umefurahi sana kusikia habari za password na kuiba dollar 500 habari za password ni uongo Rose nilitaka usome tu ujue mimi ni Mwasirika wa Ukimwi!
"Rose akionekana amechanganyikiwa! Mustapha wewe ni mwasirika?
"Ndio nasubiria parapanda tu hapa wadada wa mjini simnapenda sana mapedeshee sasa mjue nakuandaa sanda!
"Uwi! Uwi! Uwi! Mama yangu nishakufa Rose akaanza kulia na kukata simu"

* * * Dada mbona simu yako imeita ujapokea?
"Achana nae mzushi tu huyu!
"Mara gafla Sms ikaingia Beatrice akaisoma kisha akasonya fyuuuh!
"Nini tena mbona umesonya!
"Nikawa namtazama Beatrice kwa makini niligundua tayari kuna tatizo mara gafla nikasikia hone pii! Pii pii vipi ndio tumefika?
"Ndio karibu Hance hapa ndio nyumbani geti likafunguliwa gari likaingia"
"Ile kushuka tu kwenye gari nikaanza kushangaa mbona.............ITAENDELEAAAAA WEKA TANGAZO

0 maoni: