STORY: THE WORLD IZ NOT FAIR MTUNZI: CHICOLOVE BABY NAMBA: 0765,0658,270133 SEHEMU: 23

WEKA TANGAZO

"Mwanangu usije ukaniletea matatizo!na watoto wa wakubwa wa nchi!
"Wewe unafikiria nini? Unadhani waziri anaweza kubali mtoto wake aolewe na mtoto wa mkulima kama wewe!
"Kwanini baba unasema ivyo?
"Inamaana Aurelia afai kua mkwe wako?
"Sikiliza mwanangu ninyi yawezakua kweli mmependana!
"Tatizo linakuja kwa wazazi wa Aurelia je watakua tayari?
"Awa viongozi wa Serikali sio rahisi wakubali watoto wao waolewe au waoe sehemu ambayo awaendani!
"Sasa baba inamaana kama tumependana tusionyeshe hisia zetu kati yetu?
"Sikiliza kijana wangu ivi unajua alichofanyiwa Babu Seya na watoto wake?
"Lakini baba wale walibaka!
"Hance nataka nikuulize kuna mzazi anaweza kwenda kubaka pamoja na familia yake tena watoto wa dogo wa shule ya msingi?
"Hapana!
"Sasa nataka nikwambie Serikali ndio iliamua iwafanyie vile ila ukweli ni mapenzi"
"Yule Nguza Vicking alikua anamausiano na mke wa kiongozi na ndio maana wakamtia adabu pamoja na familia yake"
"Sasa nawe unataka nasi tuje tuingie matatizoni?
"Hapana baba!

* * * Rose alifurahi sana baada ya kugundua hakupata maambukizi ya Ukimwi kutoka kwa Mustapha"
"Baada tu ya kutoka hospital akamtafuta Mustapha!
"Najua ulifurahi sana ukidhani umeniambukiza virusi vya Ukimwi!
"Pole yako baba nakama unawalaghai wanawake kwa pesa zako ili uwaambukize virusi kwa jina la Yesu kamwe hutofanikiwa"
"Namshukuru Mungu nimepima nimekutwa niko salama"
"Ile hela ya sanda na Jeneza uliyoniahidi itumie kwa kula matunda ni mimi Rose!!
* * * Shiit haiwezekani Rose ajapata maambukizi nimekua nikijitaidi kuonyesha nawapenda ili nisivae condomu"
"Sitaweza kufa mwenyewe hata siku moja nilipata kwao acha nami niwasambazie tu!
"Dunia haina usawa hata siku moja kama wewe unahuruma kufa peke yako!

* * * * Sasa mwanangu mimi napenda tu kukwambia kama utaki vita na Serikali basi achana na yule binti"
"Nikashtuka na kumtazama baba kwa hasira!
"Kwanini niachane nae ilo halitawezekana hata kidogo!
"Kama yeye ndio angesema tuachane nisingekua na tatizo ila baba uwezi ni zuia
"Sisi tumeshapendana na tuko tayari kwa lolote litakalo tokea!
"Sasa naona umekua na sauti zaidi yangu?
"Hapana baba ila tambua kamwe siwezi achana na Aurelia kwa sababu eti ni mtoto wa Waziri wa Serikali hapana!
"Mapenzi yetu sisi ni................ITAENDELEAAAAAAAAAAA! WEKA TANGAZO

0 maoni: