STORY: THE WORLD IZ NOT FAIR MTUNZI: CHICOLOVE BABY NAMBA: 0765,0658,270133 SEHEMU: 22

WEKA TANGAZO

"Sasa Rose majibu yetu yako tayari!
"Vipimo vinaonyesha ujaambukizwa virusi vya Ukimwi!
Dr! unauhakika na majibu yako?
"Mimi ndio Doctor na ndio nimekupima kwanini nisiwe na uhakika na majibu yangu"
"Rose alifurahi sana maana tayari alikua anajua yeye ni mfu aliye hai"
"Dr asante kwa ushauri wako inawezekanaje ukafanya mapenzi na mwathirika wa Ukimwi na usipate?
"Kama nilivyokwambia Rose virusi vya Ukimwi vinaenezwa zaidi katika tendo la ndoa endapo kutatokea michubuano"

* * * Darling umeiona Familia yangu?
"Yaah nimewaona beibe!
"Ivi uliniambia unafanya kazi wapi?
"Mimi nafanyakazi tu za vibarua kwa mafundi ujenzi za kubeba zege!
"Kwanini unafanya kazi ngumu ivyo cwty?
"Ndio kazi ambazo zinapatikana kwa watu wenye elimu ya chini mpenzi"
"Eeh elimu ya chini?
"Ndio!
"Kwani wewe umeishia kidato cha ngapi?
"Mimi ndio nimemaliza form four na ngojea matokeo!
"Mmmh!
"Nini tatizo mbona unahema kwa kasi!
"Hakuna tatizo!

"Hance nikikutazama najisikia faraja moyoni mwangu!
"Hata nami nafurahi kua nawe Aurelia Mwaisabila!

"Hance nitazungumza na dady akutafutie kazi nzuri!
"Mimi sipendi hiyo kazi ya zege inakuumiza mme wangu!
"Nahitaji saivi ukae tu nyumbani kama nimatumizi madogomadogo tutasaidiana!
"Lakini beibe mbona itakua kama mzigo kwako!
"Hapana hubby wewe ni sehemu ya maisha yangu kwa sasa utakuaje mzigo kwangu!
"Beibe mbona umenuna mpenzi!
"Siwewe unanifanya nijisikie vibaya unajua jinsi gani nakupenda Hance?
"Nakupenda pia darling wangu usichukie beibe wewe ndio furaha yangu"
"Nikamsogelea Aurelia nikamshika mkono!
"Bby nataka niwai nyumbani mama atajisikia vibaya!
"Oky beibe!
"Take care darling nakupenda!
"Nami pia byeee!

* * * * Rose alishindwa kuamini kile kinachotokea pale!
"Dr ila itabidi uje baada ya mienzi tatu tena tarehe ya kama leo!
"Jambo lingine unapaswa kua mtulivu sio unaenda tena kujisaau na kuendelea na starehe za dunia"

* * * Mama ! Mama! Uko wapi?
"Nani wewe!
"Mimi Hance!
Ulikua wapi mwanangu !
"Mama nilimsindikiza Aurelia!
"Ndio mkwe wangu!
"Inawezekana kwani afai kua mkwe wako?
"Baba Hance kijana wako karudi!

"Hance! Hance! Naam baba!
"Ebu njoo!
"Nikashikwa na wasiwasi mzee ananiitia nini tena!
"Naam baba!
"Ebu keti hapo nataka tuzungumze kidogo!
"Kuna tatizo baba!
"Hapana ila nilitaka kufahamu yule binti wa Waziri Mwaisabila unamawasiano gani nae!
"Baba yule ni rafiki yangu tu!
"Ndio natambua ni rafiki yako ila kuna urafiki mwingine wa ziada!
"Je unamausiano nae ya kimapenzi?
"Najua wewe nikijana saivi lazima uwe na mchumba nataka nikusaidie jambo moja
"Nikajikuta nashindwa kujibu nakuinama chini adi mzee akasema..................ITAENDELEAAAAAA! WEKA TANGAZO

0 maoni: