STORY: THE WORLD IZ NOT FAIR MTUNZI: CHICOLOVE JR NAMBA: 0658, 0765,270133, SEHEMU:17

WEKA TANGAZO
Hance unajua kumbembeleza mwanamke akatuliza hasira zake mpenzi!
"Kwanini unasema ivyo beibe?
"Nilikua nimechukia sana mpenzi umechelewa ila wewe ni mwanaume wa tofauti sana ni wanaume wachache sana wanajua kusema nisamehe"
"Wengi upenda kusema yaishe basi tena kwa sauti ya ukali pasipo kujua mpenzi wake amejisikiaje"
Beibe ebu acha kunishika ivyo tuko barabarani mpenzi!
"Yaah natambua mme wangu ila nikikutazama nashindwa niseme nini kwako!
"Ha ha ha hata nami nafuraha kua nawe beibe natamani siku ya harusi yetu ifike"
"Mimi ndio nitachanganyikiwa mpenzi na ivi napenda macho yako na kifua chako!
"Ha ha ha hata nawe unanivutia sana machoni mwangu upole, upendo na uzuri wako ni kama dhahabu machoni mwangu"

* * * Mustapha akaondoka pale chumbani akiwa na mawazo mengi akatoka nje"
"Hey kaka samahani mbona unaondoka bila kulipa?
"Agrrrh sory dada nimejisaau tu ngoja nikulipe"
"Kuingiza mkono mfukoni kutoa Wallet hakuna!
"Heeh! Where iz my wallet?
"Acha Mustapha aanze kujisachi hadi mfuko wa shati"
"Dada ebu subiri nadhani nitakua nimedondosha wallet yangu kule chumbani!
"Akarudi haraka! haraka na kuanza kutafuta wallet yake sheet! Rose atakua amenichukulia wallet yangu"
"Na ina document zangu nyingi na risiti za malipo ya kazi zangu"
"Hey Mzee mbona unaongea mwenyewe nini tatizo?
"Hakuna tatizo ujanionea binti mmoja mweupe mfupi amevaa suruali ya jeans na blauzi nyekundu?
"Hapana mzee sijamwona kwani kuna tatizo gani kwa uyo binti"
"Oky! Oky! Usijali kijana akarudi pale reception!
"Samahani dada yule binti niliyeingia nae amepita hapa mda mrefu sana?
"Binti yupi mzee hapa lodge wanaingia watu wengi"
"Amevaa Jeans, ya blue na blauz nyekundu?
Huyo binti amepita hapa sanyingi sana anapochi nyekundu?
"Yaah ndio uyo uyo fucking!
"Kwani kuna tatizo mzee!
Ameniibia wallet yangu na inadocument zangu za kazi na ni muhimu sana"
"Pole sana mzee ndio wadada wa mjini hao!
"Mustapha akua na hela yeyote ya ziada mfukoni ikabidi asogee karibu na M.pesa akatoe hela iliyoko kwenye simu"
"Dada habari naweza kutoa hela kwa m.pesa?
"Shingi ngapi?
Laki moja na nusu tu!
"Toa!
Asante akarudi pale reception akalipa elfu arobain akachukua gari lake na kuondoka!

* * * Nafurahi kusikia ivyo mpenzi vipi beibe tutaenda hadi nyumbani kwetu?
"Mmmh hakuta kua na tatizo?
"Hapana beibe nataka upafahamu nyumbani kwetu "
"Sawa beibe ni nani anakuja kukuchukua ni yule dada yako?
"Yaah kwanini umeuliza beibe alafu siku ile siku waelewa elewa unafahamiana nae?
"Ndio ameshawai kuja kazini kwetu siku moja na boss wetu"
"Kwani beibe wewe unafanya kazi katika ofisi gani?
"Sifanyi kazi katika ofisi mimi mbona!
"Sasa alikuja kazini kwenu wapi?
"Uko ni napo beba zege alikuja na boss wangu anaitwa Mustapha!
"Mustapha? Alikuja kuchukua nini?
Sijui kwani wewe umfahamu uyo Mustapha?
"Hapana mimi simfahamu huyo Mustapha mbona!
"Okey siku moja utamjua mara gafla dada ake akaja amependeza akatuchukua na kuanza safari ya kwenda kwa akina Aurelia"
"Eti dada unafahamiana na Hance?
"Mmmh kwanini umeuliza?
"Ameniambia ushawai kwenda kazini kwao ukiwa na boss wake Mustapha!
"Dada yake Aurelia aliposikia jina Mustapha akashtuka hadi akashindwa........ITAENDELEAAAA!
WEKA TANGAZO

0 maoni: