RAYUU "NATAFUTA MWANAUME WA KUNIOA NA KUNIWEKA NDANI"

WEKA TANGAZO
Staa katika tasnia ya filamu Alice Bagenzi "Rayuu" amefunguka na kusema amechoka maisha ya kuishi kiupweke hivyo anatafuta mwanaume wa kumuoa ili naye awe katika ndoa na aachane na maisha ya ukapera maana kwa sasa yanamuelemea na kila aonapo watu walioolewe jinsi wanavyoishi na wanaume zao basi na yeye anatamani sana maisha hayo.

Akifunguka Rayuu alisema "natafuta mwanaume wa kuniweka ndaniambaye atakuwa mkweli atanipenda kwani nimechoka maisha ya kisela nataka niwe mke halali wa mtu tena mwanaume atakayekuja kwangu nitampenda sana" 

Pia aliongezea kwa kusema "mimi ni binti mzuri tena bado mdogo hivyo maisha ya kurukaruka nimechoka"
Credit- BongoSwaggz
WEKA TANGAZO

0 maoni: