HATUJAKAMATA MTU - POLISI
WEKA TANGAZO
Jeshi
la Polisi nchini, limesema majambazi waliokuwa wamejificha katika
mapango ya Amboni nje kidogo ya jiji la Tanga wamekimbia.
Mkurugenzi wa Operesheni na Mafunzo wa jeshi hilo, Kamishna Paul
Chagonja, akizungumza jana alisema majambazi hao wamekimbia baada ya
kuzidiwa nguvu na askari wa jeshi lake wanaoshirikiana na Jeshi la
Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
Nini unataka kuliambia jeshi la polisi?
WEKA TANGAZO
0 maoni: