Epuka Vitu Hivi Unapoamua Kuwa na Mchepuko ambao ni Mume wa Mtu ama Mke wa Mtu

WEKA TANGAZO
Ku date mke wa mtu siyo jambo zuri, na ukiweza kuepuka ni vyema ukafanya hivyo. Hivi karibuni rafiki yangu wa karibu amekumbwa na balaa kubwa kutokana na kitendo hiki. Pamoja na kwamba si jambo zuri lakini ukweli ni kwamba kwa sababu tofauti totauti watu wataendelea ku date wake za watu. Offcourse hata wanawake wengine kutokana na sababu mbalimbali kwenye ndoa zao wataendelea kuchepuka. hivyo mada hii inalenga kuwasaidia wote wanaochepuka wake kwa waume wasikumbwe na zahama kama iliyomkumba rafiki yangu. Kwa experience yangu zifuatzo ni rules ambazo wachepukaji wanatakiwa ku zi observe.

1. Jua kuwa mwanamke au mwanamme anayechepuka siyo mwaminifu. Hivyo anaweza kuwa na mchepuko zaidi yako. That is you are not alone. Hivyo always jaribuni kutumia kinga. Hata kama hana mchepuko mwingine possibility ni kubwa kuwa mme au mke wake pia ana mchepuko. So kutumia kinga ni jambo jema.

2. Hata kama mkiamua kuplay bare inabidi mjitahidi kuzuia mimba. Kumpa mimba mke wa mtu ni jambo baya ambalo linaweza kutokea na kuharibu kabisa maisha ya mmoja wenu au wote.

3. Avoid texting. Sms za ma lavi davi ni nzuri katika kuhamasishana na ku furahia pale mnapokuwa mbali. Lakini linapokuja swala la mume au mke wa mtu meseji ni njia mbaya kabisa ya mawasiliano. Usipende kabisa na ikiwezekana acha sms kabisa. Pale inapobidi kuwasiliana tumieni voice. Piga simu. Watu wengi wamekamatwa kwa sababu ya sms.

4. Msiweke utamaduni wa kukutana. Namaanisha msikutane sehemu na siku zinazofanana. E.g kila jumatano au jmosi sehemu A. Msiwe na kawaida. Badilisheni hotel, siku na wakati as many times as possible. Msiwe na kawaida.

5. Tafuta muda wa faragha ambao sio questionable for both of you.

6. Msipende kutumia usafiri mmoja na kukaa sehemu moja. Kutaneni eneo la tukio na kila mmoja aende kivyake. Msipende kukaa pamoja eneo la wazi kama bar. Huwezi kujua mtu aweza kuwaona. Hata kama mnakunywa nyweeni chumbani.

7. Hata kama mnapendana na ku enjoy kiasi gani kamwe msitelekezw wenza wenu au kufanya wenza wenu wahisi kuwa kuna kitu kinaendelea. Kama lara1 anavyosemma ni lazima uonyeshe high degree ya unafiki.

8. Mchepuko ni siri ya watu wawili. Never intoduce or let your best friends, shoga etc know about it. Hata rafiki zako wa karibu vipi hawatakiwi kujua kama una chepuka.
WEKA TANGAZO

0 maoni: