STORY: THE WORLD IZ NOT FAIR MTUNZI: CHICOLOVE JR NAMBA: 0765,0658,270133 SEHEMU: 20

WEKA TANGAZO


"Moyo ukiwa unaenda mbio!
"Nikageuka na kumcheki nani huyo?
"Aurelia who iz he?
"Nikiwa natetemeka uku nitafuta njia yakupenya pale nitoke nje"
"Hey braza uyu ni rafiki yangu anaitwa Hance"
"Nashangaa unapanic kwani kuna lipi la ajabu hapa?
"Aurelia akawa anabishana na kaka yake kwa lugha ya kingereza nakunifanya nibaki nashangaa tu sijui chakufanya"

"Baada ya mda kidogo nikaona kama wanashuka kidogo akaja mama mmoja!
"Hey Aurelia Quit! Kuna nini hapa?
"Nothing mom!
"Sasa mbona unajibizana na dada yako?
"Yule kijana akawaanaondoka nakutuacha pale mimi , Aurelia pamoja na Mama yake!
Where are you going Rabson?
"Am on my room mom!

Tena amuoni hata aibu mbele ya mgeni mnagombana?
"Aurelia akashindwa kujibu na kubaki kimya uku ananitazama"
"Habari yako kijana! Salama shikamoo mama!
"Maraaba karibu samahani kwa hali iliyotokea hapa!
"Usijali mama!
"Unaitwa nani?
"Naitwa Hance Ringo!
"Wewe ni mzaliwa wa Dodoma?
"Ndio mama!

Mom! he iz my friend! Amekuja kusalimia!
"Karibu Hance jisikie uko nyumbani!
"Nashukuru mama!

* * * Fundi yule dogo ajaja tena leo?
"Ndio ajafika tena leo labda ameacha kazi?
"Haya akija mwambie anitafute kwanza!
"Yule dogo aliniambia anamatatizo lakini naona anacheza na kazi"
"Madogo wengine awajui kula na mabosi wanalilia kazi ukiwa wanaleta mchezo!

* * * Baada ya Mama ake Aurelia nae kuenda chumbani akaniacha na Aurelia pale sebuleni"
"Beibe don wory achana nae yule kaka angu anaasira zake tu!
"Hapana Aurelia yuko sawa sio heshma kwa vitendo ulikua unanifanyia isitoshe tupo kwenu"
"Ndio maana nilikua nakataa sio heshma kwako na kwangu pia!
"Ni vizuri kama tukamtaka radhi Robson!
"Oky i will do it for you darling am sory !
"Oky lv yuh"
"Beibe wait nipe dakika tano nakuja"
"Ok usichelewe na hitaji kuondoka mapema"

* * * Mama Hance vipi Hance amerudi?
"Hapana!
"Nitampiga marufuku sasa kutoka hapa nyumbani"
"Lakini mme wangu yule ni mtoto wa kiume?
"Kwahiyo ndio azurure kutwa nzima?
"Sijasema azurure bali
uwezi ukamzuia yule ameshakua mtu mzima kama kujambo unahisi sio sawa unamwita na kuzungumza nae"

* * * Hance yani wamekukimbia wote jamani!
"Hapana wanakuja saivi tu ndio Aurelia ametoka hapa saivi kasema anakuja!
"Hey Hance usije ukamwambia kitu chochote kuhusu mimi na Mustapha!
"Oky usijali ila pia ninamaongezi nawe utafute mda tuzungumze!
"Oky usijali my shem!
"Mtu na shemeji yake mnazungumza nini?
"Weeh nawe mtu asiongee na Hance kwanza ulikua unazozana nini na Rabson?
"Yameisha hayo achana nayo bana!
"Rabson yuko wapi?
"Yuko chumbani kwake kwani vipi?
"Nimeuliza tu ni kaka yangu nampenda!
"Hata nami nampenda ila sio kama....................ITAENDELEAAA! WEKA TANGAZO

0 maoni: