STORY: THE WORLD IZ NOT FAIR MTUNZI: CHICOLOVE JR NAMBA: 0658,0765,270133 SEHEMU: 11

WEKA TANGAZO
Bby mbona kama jana tumelala wawili? Aurelia akanitazama uku akiwa anaona aibu!
"Ndio mpenzi tulilala wawili baada ya wewe tu kulala niliogopa kulala pale kwenye kile kitanda kingine mwenyewe!
Agrrh mamy je Dokta angekuja atukuto tumelala wawili ingekuaje?
"Basi tena ndio ajaja na angekuja angeshangaa maana nilivyokua nimekukumbatia acha tu nimefurahi sana mme wangu kupata joto lako haki usiku kucha nilikua nakutazama tu jinsi ulivyokua umenikumbatia!
"Ha ha ha ebu acha kusema ivyo usije ukakuta ulinifanyia nani na nani!
"Usijali mme wangu weeh lazima ningeogopa kwanza ningeshindwa kufanya kwa uhuru mambo yangu siunajua sehemu tulipo"
"Nikamtazama Aurelia uku nikiwa natabasamu nikamwona ni mwanamke mmoja mstaarabu sana ungekuta ni mwanamke mwingine alafu joto limpande angetaka hata kwa fimbo aijalishi yuko sehemu gani!
"Yeye ndio akitaka ametaka wapenzi wasomoji nataka niwambie sio kila mwanamke anaweza kushinda iyo presha ya hisia"
"Ni vizuri kama unajua mpenzi wako ni mwepesi kufua chupi haraka hisia zinapompanda alafu uko sehemu ambayo sio nzuri punguza yale matamanio ya kushikanashikana usimweke katika hali mbaya"
"Mimi Dr wenu nimeshakumbana na msichana mwenye tatizo ilo na aliteseka sana mbele ya macho yangu akihitaji sakasaka likamsakesake kiu chake!
* * * Moses baada ya kuzunguka kila mahali pasipo kufanikiwa kuniona aliamua kwenda nyumbani kutoa taarifa kwamba ajafanikiwa kuniona"
"Hodi! hodi! Karibu Moses!
Asante mama! Ujambo mwanangu!
"Sijambo shikamoo mama!
"Marahaba ujamwona huyo rafiki yako Hance uko ulipotoka?
"Mama sijafanikiwa kumwona kwa kweli nimemtafuta sana bila mafanikio"
"Nimekuja kucheki kama amesharudi maana nilikutana na mzee akanipa habari zake"
"Uuuh Mungu msaidie mwanangu hapo alipo mama akahema kwanguvu kuonyesha hali ya kuchoka mwili, roho na moyo"
"Karibu Moses ndani! Asante mama usijali mimi na amini Hance yuko salama na atakuja tu "
"Wala usipatwe na presha mama nikuomba tu Mungu amlinde uko alipo mama"
"Ngoja mwanangu nikuandalie chochote! Usijali mama niko vizuri!
"Hapana Kijana wangu uwezi kuja nyumbani kwa mama yako usipate hata kikombe cha chai"
* * * Fundi mbona yule dogo leo ajaja?
"Muulize Mustapha bana ndio yeye alimleta anapaswa kujua kwanini ajaja"
"Unajua Dogo alimpa ukweli sana tajiri na ndio maana alimpiga tena sio vizuri kuja sehemu ya kazi na mwanamke uku saingine wanashikana shikana na kupeana mabusu hadharani"
"Sasa mbona usimwambie siku zote hadi dogo kaja tu siku hiyo na kumwambia!
"Siunaona lakini alimpiga kofi sema ingekua mimi pangechimbika!
"Wapi wewe unaongea tu tena yule pale kaja na mwingine mpya kama kawaida yake kamwambie!
* * * Dady twende ukaoge tujiandae na safari mpenzi!
"Ok nenda kaoge kwanza wewe beibe take care nakupenda"
"Wakati Aurelia ameenda kuoga nikachukua simu yake nikawa nachezea chezea"
"Nikaenda kwenye profile la picha nikashangaa kumwona mtu ninaemfahamu"
"Ile naendelea kuchunguza gafla mlango ukafunguliwa nikashtuka hey Hance nini ulikua unacheki mbona umeshtuka eeh!
"Beibe hamna usijali ngoja nikaoge kwanza uku nikimtazama kwa makini hadi akamua kuni......,ITAENDELEAAAAAAAAA! WEKA TANGAZO

0 maoni: