Jumamosi, 3 Januari 2015

Mwimbaji Joh Makini Ndani ya Penzi Zito Kwa Mrembo Meninah

Tetesi za Mtaani zinasema kuwa Mwanamuzi Joh Makini Ameangukia Kwenye Dimbwi la Penzi na Mwanamuziki Mwenzake Mrembo Meninah...

Inasemekana mapenzi yao yalianza Baada ya Kufanya Video ya Pamoja ambayo imesababisha ukaribu zaidi kwa wawili hao...

Je wewe mdau unaonaje wawili Hawa Wanafaa kuwa Wapenzi ?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni